All Clinics

Akina mama na akina baba wanapata huduma  za uzazi

Kliniki ya Moyo hufanyika kwa siku mbili ndani ya wiki moja ambapo wataalam wetu huhudumia wagonjwa kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa tisa na nusu alasiri.

Wagonjwa wote wanatakiwakuanzia mapokezi kwa ajili ya kupokelewa pamoja na  kuzingatia tarehe zao za kliniki ili kuepuka usumbufu